TAARIFA YA JESHI LA POLISI BOMU LILOLIPUKA MWANZA

Usiku wa May 5 2014 yani jana saa mbili na dakika 20 umetokea mlipuko mwingine ndani ya kanisa la KKKT Makongoro wilayani Ilemela Mw...



Usiku wa May 5 2014 yani jana saa mbili na dakika 20 umetokea mlipuko mwingine ndani ya kanisa la KKKT Makongoro wilayani Ilemela Mwanza  ambao umethibitishwa na Polisi.olisi imethibitisha kwamba uchunguzi wa awali umeonyesha bomu hilo ni la kienyeji na baada ya kulipuka limemuathiri mtu mmoja aitwae Bernadetha Alfred kabila Mnyaturu mwenye umri wa miaka 25 ambae kwa sasa anatibiwa kwenye hospitali ya Bugando.
Jeshi la polisi pamoja na vyombo vingine vya usalama bado wanaendelea kuchunguza hili tukio aliyehusika na shambulio hili pia bado hajajulikana.
Picha na Global Publishers

Related

ALICHOANDIKA JOYCE KIRIA KWA FACEBOOK PAGE YAKE BAADA YA BAADHI YA WASANII WA BONGO MOVIE KUJIUNGA NA CCM

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce Kiria akaamua kuandika maoni yake kuhusu tukio hil...

MBEYA CITY YAAMBULIA PATUPU KWA YANGA, YAFUNGWA 1 - 0

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Y...

TAZAMA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJILI HUKO MKOANI MBEYA KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM

MATEMBEZI YA MSHIKAMANO YALIFANYIKA JIJINI MBEYA Mweneyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili eneo la Soweto kuongoza  matembezi ya mshikamano ya miaka 37 ya CCM, yaliyofanyika...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item