MSAADA UNAHITAJIKA KWA BINTI HUYU

"Hujafa haujambika, mwenzetu amepatwa na huo mtihani mirija ya kusambaza maji mwilin imeziba anatakiwa kwenda India kwa matibabu ...

"Hujafa haujambika, mwenzetu amepatwa na huo mtihani mirija ya kusambaza maji mwilin imeziba anatakiwa kwenda India kwa matibabu na gharama zake ni milion 35 za kitanzania. Zuhura amesoma Muhimbili primary school na kumaliza la saba 2000. Kwa nafasi yako, huruma yako na kwa hicho kidogo Mungu alichokujaali anaomba msaada wako. Alishawahi kijitangaza siku za nyuma ila hakufanikiwa kupata mfadhili wala hiyo hela ya matibabu. Nina imani tutaweza na atapona tu. Anaitwa Zuhura Juma wasiliana nae kwa 
0717 319555."

Related

TUJUZANE 2598775585626075076

Post a Comment

emo-but-icon

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item