ZAIDI YA WATANZANI 50 KUNYONGWA NCHINI CHINA

Zaidi ya Watanzania 50 wamehukumiwa adhabu ya kifo nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za ...



Zaidi ya Watanzania 50 wamehukumiwa adhabu ya kifo nchini China baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya.

Idadi hiyo ni kati ya Watanzania 403 wanaoshikiliwa katika nchi mbalimbali wanaoshikiliwa kwa tuhuma hizo.

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,uratibu na Bunge nchini humo,William Lukuvi ametaja baadhi ya nchi ambazo Watanzania wanashikiliwa kuwa Kenya,Uganda, Botswana,Malawi,Msumbiji, China,Brazil,Marekani, Pakistani na Uturuki.

Serikali ya Tanzania imekamilisha muswada wa sheria ya dawa za kulevya ambao ikiwa utapitishwa bungeni utasaidia harakati za kupambana na biashara ya dawa za kulevya.

kwa mujibu wa Lukuvi, kuanzia mwezi Januari mpaka juni mwaka huu,kiasi cha kilo 220 za dawa za kulevya aina ya Heroine na watuhumiwa 18 walikamatwa pia kilo 15.4 za Cocaine zilikamatwa sambamba na watuhumiwa saba.

Related

SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS KIKWETE KUFUATIA KIFO CHA MKUU WA MKOA WA MARA

  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE Rais wa Jamhuri ya Muungano ...

TAZAMA PICHA ZA AJALI YA MOTO ILIYOUA WATOTO WALIOKUWA WAMELALA NDANI YA NYUMBA MKOANITABORA

Hapa ndipo  walipokuwa wamelala watoto hao na kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadhaniwa kuwa ni hitilafu za umeme.  Miili ya watoto wawili wa familia moja Daniel Paul(8)na md...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904973
item