NEWS ALERT: KITU KINACHOSADIKIWA NI BOMU CHALIPUKA ARUSHA‏ JIRANI NA MAHAKAMA KUU

Watu 7 wamejeruhiwa na 1 yuko mahututi baada ya watu wasiofahamika kurusha bomu karibu na Mahakama Kuu, Arusha  katika mgahawa wa Wa...



Watu 7 wamejeruhiwa na 1 yuko mahututi baada ya watu wasiofahamika kurusha bomu karibu na Mahakama Kuu, Arusha  katika mgahawa wa Wama ulioko Gymkhana jijini Arusha(Pichani chini). Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo, majeruhi wote wamepelekwa katika hospitali ya Seliani jijini Arusha.

Related

GHANA YAIBAMIZA ZAMBIA BAO 2 - 1

Ghana National Team Timu ya taifa ya Ghana imefanikiwa kuifunga timu ya taifa ya Zambia bao 2 - 1 katika mchezo uliochezwa leo kuwania kushiriki kombe la dunia 2014

AJALI SHINYANGA

Zaidi ya watu 10 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari waliyokuwa wakisafiria aina ya Noah waliyopanda kupinduka wakati ikijaribu kukwepa mkokoteni wilayani kahama leo. Dereva wa gari hilo amefariki d...

KATIBU MKUU MPYA WA UVCCM SIXTUS MAPUNDA AKABIDHIWA MADARAKA RASMI

KATIBU Mkuu mstaafu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Martine Shigela (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu mpya wa UVCCM, Sixtus Mapunda, faili wakati wa makabidhiano ya Ofisi, waliyofanya jana, Ma...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904821
item