STEPHEN KESHI AJIUZULU KAMA KOCHA WA NIGERIA {SUPER EAGLES)

Kocha wa Nigeria, Stephen Keshi amejiuzulu kama kocha wa timu hiyo ya Naija baada ya kuondolewa jana kwenye kombe la dunia, FIFA ime...


Kocha wa Nigeria, Stephen Keshi amejiuzulu kama kocha wa timu hiyo ya Naija baada ya kuondolewa jana kwenye kombe la dunia, FIFA imesema.

Shirikisho la soka la Nigeria bado halijathibitisha kujiuzulu kwake japo ana maswali mengi ya kujibu baada ya timu yake kufungwa 2-0 na Ufaransa Jumatatu hii. FIFA.com imenukuu tweet ya Keshi, japo mapema wakati wa shindano hilo maafisa wa Nigeria walisema hayupo kwenye mtandao huo.

“Friends, it has been a good run and I have enjoyed every moment. It’s been an honour coaching the Super Eagles. It is however time to bow out,” ilisema tweet hiyo.

Related

KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2014: TAZAMA MAKUNDI YA MECHI ZITAKAZOSHIRIKI NA RATIBA NGAZI YA MAKUNDI

Ratiba ya kombe la dunia 2014 itakayoanza Juni 12 kama ilivyotelewa na Fifa, kuona ratiba ya mechi kwenye ngazi ya pili (second stage) na fainali bofya hapa. Normal 0 false ...

FRANK LAMPARD KUAGA CHELSEA

 Mchezaji huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 35 na ambaye ndiye mfungaji bora zaidi wa mabao katika klabu hiyo kwa jumla ya mabao 211, anamaliza kandarasi yake mwezi huu. Tangu ali...

LUPITA NYONG'O KUJIUNGA STAR WARS

Msanii muigizaji kutoka Kenya Lupita Nyong'o ameteuliwa kuijiunga na mabingwa wengine wa kimataifa katika filamu maarufu zaidi duniani STAR WARS. Lupita anatarajiwa kuonekana katika kipind...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904822

HOT POSTSRECENTArchive

RECENT

Archive

item