TANGAZO KUHUSU MV. KIGAMBONI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UJENZI WAKALA WA UFUNDI NA UMEME (TEMESA) Telegrams TEMESA DSM S.L.P 70704 Simu: +255-22...
WIZARA YA UJENZI
WAKALA WA UFUNDI NA UMEME (TEMESA)
Simu: +255-22-2862796/97 DAR ES SALAAM
Fax: +255-22-2865835 TANZANIA
________________________________________
Hivyo huduma za uvushaji zitaendelea kwa kutumia vivuko vya MV. Magogoni pamoja na MV. Lami katika kipindi chote cha matengenezo husika.
Uongozi wa TEMESA unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakao jitokeza.
Imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu
TEMESA
23/7/2014