MAMA TUNU PINDA AULA KUWA BALOZI WA AMANI DUNIANI JIJINI SEOUL, KOREA KUSINI

  Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda  akiwa na Rais wa Universal Peace Federation (UPF), Dk. Thomas Walsh (kushoto) na Mwenyekiti wa U...

 Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda  akiwa na Rais wa Universal Peace Federation (UPF), Dk. Thomas Walsh (kushoto) na Mwenyekiti wa UPF, Dk. Charles Yang mara baada ya kutunukiwa cheti cha kumtambua kama Balozi wa Amani Duniani katika hafla ya kufunga Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama uliomalizika jana usiku (Agosti 12, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini. (PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).

 Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda  (wa pili kulia mstari wa mbele) katika picha ya pamoja viongozi wengine waliotunukiwa vyeti vya kuwatambua kama Mabalozi wa Amani Duniani katika hafla ya kufunga Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama uliomalizika jana usiku (Agosti 12, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini. Walioshika vyeti kutoka kushoto ni Mke wa Rais wa visiwa vya Samoa, Bibi Filifilia Tamasese , Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak na Mke wa Rais wa Fiji, Bibi Koila Nailatikau.

Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda  (wa pili kulia mstari wa mbele) katika picha ya pamoja viongozi wenzake 10 waliotunukiwa vyeti vya kuwatambua kama Mabalozi wa Amani Duniani katika hafla ya kufunga Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama uliomalizika jana usiku (Agosti 12, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini.(PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).

Related

HASIRA MBAYA JAMANI, BABA AMRUSHA BINTI YAKE KUTOKA GOROFA YA TATU SOMA HAPA

 LAGOS An angry father, Deji Kamoru, is currently in trouble for throwing his 14-year old daughter, Aishat, from their three-storey building home after he caught her with her boyfriend in ...

TO ALL LADIES .........READ A MSG FROM STEPHANIA OKERERE

Stephania Okerere is the Nollywood actress and happly  married lady, she have shared an encouraging msg to all ladies that we should not forget to build ourselves up, fulfill our dreams and ca...

Oscar Winning Actor Philip Seymour Hoffman dies at 46

Sad news has shocked Hollywood and movie lovers worldwide. Oscar winner Philip Seymour Hoffman has passed away at age 46. The talented actor died of a suspected heroin overdose and was found by...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item