TAARIFA YA KIFO KUTOKA YANGA SC

Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Dereva wa Basi Kubwa la Wachezaji (Yutong) Bw Maulid Kiula...

Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Dereva wa Basi Kubwa la Wachezaji (Yutong) Bw Maulid Kiula kilichotokea alfajiri ya leo Ilala jijini Dar es salaam.

Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani kwa marehemu mtaa wa Chunya karibu na Bungoni Ilala jijini Dar es salaam.
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi Amen.

Related

BINGWA WA DUNIA MBIO ZA MAGARI MICHAEL SCHUMACHER TAABANI

Bingwa wa dunia mara 7 wa mbio za magari yuko mahututi, michael aliumia vibaya ubongo wakati akishiriki mchezo wa kuteleza kwenye barafu nchini Ufaransa. Tazama video inayoonyesha direkta wa hospi...

WAFANYABIASHARA JIJINI MWANZA WAGOMA

Wafanyabiashara Mwanza wamegoma kufungua maduka yao hadi muda huu, wanadai kulazimishwa kununua mashine za TRA na kudai kuwa wananyanyaswa.

American White House Ignores Reports of Divorce Between Obama and Michelle

A tabloid in the U.S. recently reported that Michelle Obama was in the process of filing for a divorce. Another daily has said the first couple sleeps in different bedrooms. However, the reports...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item