TAARIFA YA KIFO KUTOKA YANGA SC

Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Dereva wa Basi Kubwa la Wachezaji (Yutong) Bw Maulid Kiula...

Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Dereva wa Basi Kubwa la Wachezaji (Yutong) Bw Maulid Kiula kilichotokea alfajiri ya leo Ilala jijini Dar es salaam.

Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani kwa marehemu mtaa wa Chunya karibu na Bungoni Ilala jijini Dar es salaam.
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi Amen.

Related

DKT. ASHA ROSE MIGIRO ATEULIWA KUWA MBUNGE NA RAIS KIKWETE, APONGEZWA KWA UTEUZI HUO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na ...

TAMKO LA WANACHADEMA WA MKOA WA MWANZA HILI HAPA

  Ndugu wanahabari, muda mfupi uliopita (jana) tumetoka kufanya mkutano na waandishi wa habari hapa mwanza kwenye ukumbi wa HILL FRONT sisi kama wanachama wa chadema kuelezea msimamo wetu dh...

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA TAASISI YA KIMATAIFA YA KUHUDUMIA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA NA UKIMWI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Kuhudumia Waathirika wa Dawa za kulevya na UKIMWI iitwayo Medicins Du Monde - Harm Reduction Programe alipofika na ujumbe ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item