EBOLA YATUA SENEGAL

Uwanja wa ndege sehemu ya ukaguzi Waziri wa Afya wa Senegal amethibitisha kua ugonjwa wa Ebola umekwisha tua nchini mwake na kufanya...

Uwanja wa ndege sehemu ya ukaguzi

Waziri wa Afya wa Senegal amethibitisha kua ugonjwa wa Ebola umekwisha tua nchini mwake na kufanya hesabu ya kua nchi ya kumi na tano kutoka Africa magharibi kukumbwa na ugonjwa huo .
Mwishoni mwa wiki waziri huyo Awa Marie Coll Seck aliwaambia waandishi habari kwamba kijana mmoja kutoka Guinea aliingia nchini Senegal akiwa ameshaambukizwa ugonjwa wa Ebola, na alipogunduliwa, mara moja aliwekwa katika karantini.
Mripuko wa hivi karibuni ulitokea nchini Guinea, umeua Zaidi ya watu 1,500 .
Na wengine 3,000 waliambukizwa virusi vya ugonjwa huo nalo shirika la afya duniani limeonya kua hali inaweza kuwa mbaya Zaidi na huenda ukaambukiza watu wengine Zaidi ya 20,000 people.
Kutokana na kutambuliwa kwa mgonjwa huyo Senegal imefunga mipaka yake na nchi ya Guinea ili kuepusha kuenea zaidi kwa ugonjwa huo.
BBC SWAHILI

Related

TAARIFA YA KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBWA KWA VYOMBO VYA HABARI

BUNGE MAALUM  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014  Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maal...

KAMPENI ZA UCHAGUZI KALENGA, CCM YAZIDI KUCHANJA MBUGA

 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa akisalimiana na vijana na wananchi kwa jumla baada ya kuwasili jana katika kijiji cha Elandutwa, katika jimbo hilo...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item