EBOLA YATUA SENEGAL

Uwanja wa ndege sehemu ya ukaguzi Waziri wa Afya wa Senegal amethibitisha kua ugonjwa wa Ebola umekwisha tua nchini mwake na kufanya...

Uwanja wa ndege sehemu ya ukaguzi

Waziri wa Afya wa Senegal amethibitisha kua ugonjwa wa Ebola umekwisha tua nchini mwake na kufanya hesabu ya kua nchi ya kumi na tano kutoka Africa magharibi kukumbwa na ugonjwa huo .
Mwishoni mwa wiki waziri huyo Awa Marie Coll Seck aliwaambia waandishi habari kwamba kijana mmoja kutoka Guinea aliingia nchini Senegal akiwa ameshaambukizwa ugonjwa wa Ebola, na alipogunduliwa, mara moja aliwekwa katika karantini.
Mripuko wa hivi karibuni ulitokea nchini Guinea, umeua Zaidi ya watu 1,500 .
Na wengine 3,000 waliambukizwa virusi vya ugonjwa huo nalo shirika la afya duniani limeonya kua hali inaweza kuwa mbaya Zaidi na huenda ukaambukiza watu wengine Zaidi ya 20,000 people.
Kutokana na kutambuliwa kwa mgonjwa huyo Senegal imefunga mipaka yake na nchi ya Guinea ili kuepusha kuenea zaidi kwa ugonjwa huo.
BBC SWAHILI

Related

RAIS MSTAAFU WA MAREKANI GEORGE W. BUSH NA MKEWE LAURA KUKUTANA NA RAIS BARACK OBAMA KESHO

RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura wanatarajiwa kesho kuwa nchini kuhutubia kongamano linalojadili wajibu wa wake wa marais katika kuinua wanawake duniani.Kuwasili kwa Bush, ...

HII NDIO RATIBA KAMILI YA RAIS BARACK OBAMA ILIYOTOLEWA NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

Rais wa Marekani, Mhe. Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 01 Julai, 2013 mchana kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili.Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Sal...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item