BODI YA MIKOPO YATOA MAJINA YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA NA DIPLOMA WALIOKOSEA KUJAZA FOMU ZA MIKOPO 2016/2017
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu imetangaza majina ya wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2016/2017 , waliokosea kujaza form za mikopo kwa ku...
Ofisi za bodi ya mikopo zipo Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge, Dar es Salaam.
The Executive Director,
Higher Education Students’ Loans Board,
P. O. Box 76068,
DAR ES SALAAM.
Pia bodi inawahasa wanafunzi kuwa kusahihisha information za mikopo sio gurantee kwamba ndio utapata mkopo.
pia kama hautasahihisha information zako,itaendelea kuwa hivyo hadi utakapoamua kusahihisha.