HII NDIO RATIBA KAMILI YA RAIS BARACK OBAMA ILIYOTOLEWA NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

Rais wa Marekani, Mhe. Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 01 Julai, 2013 mchana kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili. Katika Uwan...


Rais wa Marekani, Mhe. Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 01 Julai, 2013 mchana kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili.

Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Mhe. Rais Obama ambaye atafuatana na Mkewe Mama Michelle atapokelewa na Mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Baada ya mapokezi, Mhe. Rais Obama atakwenda Ikulu kwa mazungumzo rasmi na Mhe. Rais Kikwete. Aidha, atafanya mkutano na Wafanyabiashara na kuhudhuria Dhifa ya Kitaifa.

Tarehe 2 Julai 2013, Mhe. Rais Obama atatembelea Mitambo ya kufua Umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam na kuzindua rasmi Mpango Maalum wa Maendeleo ya Nishati Barani Afrika ulioanzishwa na Marekani (Power Africa Initiative).

Mpango huo utaanza na nchi saba ambazo ni: - Tanzania, Kenya, Uganda, Ethiopia, Ghana, Nigeria na Sudan Kusini.

Mhe. Rais Obama anatarajiwa kuondoka nchini tarehe 02 Julai 2013.


IMETOLEWA NA:
 WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, 
DAR ES SALAAM
30 JUNI, 2013 0 MAONI

Related

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KINATOA RAI KWA WATANZANIA KULAANI HILA NA NJAMA CHAFU ZINAZOENDESHWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI KATIKA CHAGUZI NDOGO ZA MARUDIOChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA...

KUJERUHIWA KWA MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASARI, APIGWA NA GREEN GUARD

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amepigwa na kujeruhiwa vibaya, damu zinamtoka puani.Amepigwa na vijana wa Kisomali, katika eneo la Zaburi kata ya Makuyuni Jimbo la Monduli.Taarifa za awal...

TAARIFA YA HALI YA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU LA SOWETO, ARUSHA

Mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Dk Josiah Mlay amewamtaja marehemu wa mlipuko uliotokea jana mkutanoni Soweto, Arusha kuwa ni Judith Mushi, (46) mkazi wa Sokoni One, jijini Arusha.M...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904755
item