Rais wa Zanzibar, Dk Shein afungua jengo jipya la ZAPHA+

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kama ishara ya kulizindua jengo jipya la Jumuiy...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kama ishara ya kulizindua jengo jipya la Jumuiya Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi ZAPHA+ huko Welezo jana,(katikati) Mwenyekiti wa Bodi ya ZAPHA+ Bi Hasina Hamadi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, (katikati) alipokuwa akitia saini kitabu cha wageni alipofika katika sherehe za uzinduzi wa jengo jipya la Jumuiya ya Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi ZAPHA+ huko Welezo kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Jumuiya hiyo Bi Hasina Hamadi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto)akimuangalia Mshauri nasaha Suluhu Ramadhan (kulia) alipokuwa akitoa huduma kwa Hapsa Rakwe,(mwenye buibui)alipokuwa akitembelea sehemu mbali mbali za   jengo jipya la Jumuiya ya Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi ZAPHA+ huko Welezo ,baada ya kulizindua Rasmi

Mtoto Suhaila Mshamu, ni miongoni mwa Watoto wanaoishi katika mazingira magumu akisoma Risala kwa niaba ya watoto katika wilaya mbali mbali,wakati wa sherehe za Uzinduzi wa jengo jipya la Jumuiya ya ZAPHA+ 

Mwenyekiti wa Jumuiya ya watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi ZAPHA+ Consolata John,alipokuwa akimkabidhi risala ya kwa niaba ya wanachama wenzake kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati wa sherehe za uzinduzi wa Jengo jipya la Jumuiya hiyo.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa  akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za uzinduzi wa Jengo jipya la Jumuiya ya ZAPHA+.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watoto wanaoishi katika mazingira magumu,wakati wa sherehe za uzinduzi wa Jengo jipya la Jumuiya wanaoishi na Virusi vya Ukimwi huko Welezo . [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

Related

WABUNGE WAHENYEKA KUHOJIWA NA KAMATI KUU YA CCM TANGU ASUBUHI HADI JIONI JANA MJINI DODOMA

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye   NA BASHIR NKOROMO Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kikao chake kilichofanyika jana mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti ...

BREAKING NEWS!!!!!!! LOWASA ANUSURIKA KIFO

Edward Lowassa Waziri Mkuu aliyejiudhuru Edward Lowassa amenusurika kifo baada ya ndege ya Precision kupasuka matairi yote 4 wakati ikitua Arusha mchana huu, pamoja na abiria kupata mstuko polis...

WATU 6 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO

Wananchi wakijaribu kufukua udongo ili kuopoa  miili ya watu walofukiwa na kifusi katika machimbo ya Moramu eneo la Pumwani wilaya ya Moshi vijijini huku wananchi wengine wakishuhudi...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904819
item