ZIARA YA WAZIRI MKUU NA UJUMBE WAKE NCHINI CHINA KATKA PICHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipewa mauwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndegea wa Shenzhen  akitokea Beijing  akiwa katika ziara y...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipewa mauwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndegea wa Shenzhen  akitokea Beijing  akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baada ya kutembeleaSheko Container Teminal mjini Shenshen akiwa katika ziara  ya kikazi nchini China.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana  na Watanzania baada ya kuzungumza nao kwenye ubalozi wa mjini Beijing akiwa katika ziara  ya kikazi nchini China

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana  na Watanzania baada ya kuzungumza nao kwenye ubalozi wa mjini Beijing

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania kwenye ubalozi  wao mjini Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Chini, Luteni Jenerali Mstaafu, Abdulrahmani Shimbo. 

Baadhi ya watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wkati alipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania mjini Beijing

Watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao.

(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Related

MAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa  Sandton Internationa Center unakofanyika mkutano wa wake wa Marais na  Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesbu...

HOTUBA YA MUHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KWA AJILI YA KUTANGAZA NIA YA KUOMBA KUTEULIWA KUWA MGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) KWA NAFASI YA URAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Mheshimiwa Edward Lowassa akihutubia wanahabari na wananchi kwenye viwanja vya Amri Abeid mkoani Arusha. HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KWA AJILI YA KU...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904765
item