ZIARA YA WAZIRI MKUU NA UJUMBE WAKE NCHINI CHINA KATKA PICHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipewa mauwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndegea wa Shenzhen  akitokea Beijing  akiwa katika ziara y...

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipewa mauwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndegea wa Shenzhen  akitokea Beijing  akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baada ya kutembeleaSheko Container Teminal mjini Shenshen akiwa katika ziara  ya kikazi nchini China.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana  na Watanzania baada ya kuzungumza nao kwenye ubalozi wa mjini Beijing akiwa katika ziara  ya kikazi nchini China

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana  na Watanzania baada ya kuzungumza nao kwenye ubalozi wa mjini Beijing

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania kwenye ubalozi  wao mjini Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 19, 2013. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Chini, Luteni Jenerali Mstaafu, Abdulrahmani Shimbo. 

Baadhi ya watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wkati alipozungumza nao kwenye ubalozi wa Tanzania mjini Beijing

Watanzania wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao.

(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Related

MANCHESTER CITY WAZINDUA MUONEKANO WAO MPYA (BLACK NIKE OUTFIT)

Wachezaji wa manchester City wakionyesha jezi zo mpya Timu ya Manchester City imezindua muonekano wake mpya wenye nembo ya Nike leo, uzinduzi umefanyika wakati timu hiyo ikiwa mjini Hong-Kong kwe...

HAWA NDIO WANAJESHI WETU WALIOFIA DARFUL KWENYE MAPIGANO

MT 88860  PTE Peter Muhiri Werema 44KJ MT 97024 PTE Fortunatus Wilbard Msofe- 36 KJ MT 80581 CPL Mohamed Juma Ally- DFHQ AU MT 72032 CPL Mohamed Chukilizo 41KJ MT 87085 P...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item