RAGE AWEKWA BENCHI SIMBA SPORTS CLUB

Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu...

Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu. Wakati huo huo makocha Abdallah Kibadeni na Jamhuri Kihwelu pia wamewekwa kando na kamati tendaji hiyo leo; kazi yao amepewa kocha toka Croatia.

Related

UKAWA WATISHIA KUANDAMANA NCHI NZIMA

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umemtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja shughuli za Bunge Maalum la Katiba ili lisiendelee kufuja mali za Watanzania na kupuuza maoni ya wananchi ...

KIBONDE, GARDNER WAPANDISHWA KIZIMBANI

 Watangazaji Ephraim Kibonde (wa kwanza kushoto) na mwenzake Gardner Habash (wa pili kulia) wakielekea kizimbani. Watangazaji hao wakiongozwa na maofisa wa polisi kuelekea mahakama...

TBL YAKAGUA UJENZI WA KISIMA CHA MAJI CHA ZAHANATI YA MAKUBURI KILICHOJENGWA KWA MSAADA WAO

 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kushoto), na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwongozo, James Ngoitanile (wa tatu kushoto) wakiangalia kisima kipya cha ma...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item