RAGE AWEKWA BENCHI SIMBA SPORTS CLUB

Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu...

Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu. Wakati huo huo makocha Abdallah Kibadeni na Jamhuri Kihwelu pia wamewekwa kando na kamati tendaji hiyo leo; kazi yao amepewa kocha toka Croatia.

Related

UGANDA CRENES IMEWASILI JANA TAYARI KWA MPAMBANO NA TAIFA STARS

Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) imewasili Dar es Salaam jana tayari kwa mechi ya kwanza ya mchujo kusaka tiketi ya Fainali za Afrika kwa Wachezaji wa Ligi ya Ndani (CHAN) kati yake na Tanza...

MAFUTA YA UBUYU YANA TINDIKALI YA MAFUTA - TFDA

BAADA ya kuonya wananchi wanaotumia dawa za tiba mbadala ambazo hazijathibitishwa, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), sasa inawataka wananchi kuacha kutumia mafuta ya ubuyu kwa kunyw...

MTOTO HUYU MWENYE UMRI UNAOKADIRIWA KUWA WA MIEZI SITA AMEOKWOTWA ENEO LA BAMAGA

MTOTO ALIYEOKOTWA KAKA ALIYEMUOKOTA MTOTO HUYO ASUBUHI YA LEOMtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi sita ameokotwa leo asubuhi eneo la bamaga, kaka aliyeokota mtoto huyo amesema kwamba wakati anato...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item