RAGE AWEKWA BENCHI SIMBA SPORTS CLUB

Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu...

Kamati Tendaji ya Simba FC leo imemsimamisha kazi mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu, kukiuka maadili ya klabu. Wakati huo huo makocha Abdallah Kibadeni na Jamhuri Kihwelu pia wamewekwa kando na kamati tendaji hiyo leo; kazi yao amepewa kocha toka Croatia.

Related

AJALI SHINYANGA

Zaidi ya watu 10 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari waliyokuwa wakisafiria aina ya Noah waliyopanda kupinduka wakati ikijaribu kukwepa mkokoteni wilayani kahama leo. Dereva wa gari hilo amefariki d...

KATIBU MKUU MPYA WA UVCCM SIXTUS MAPUNDA AKABIDHIWA MADARAKA RASMI

KATIBU Mkuu mstaafu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Martine Shigela (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu mpya wa UVCCM, Sixtus Mapunda, faili wakati wa makabidhiano ya Ofisi, waliyofanya jana, Ma...

MAONI YA MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA SHERIA NA KATIBA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA YA MABADILIKO YA KATIBA, YA MWAKA 2013

  (Kanuni ya 86(6) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2013) UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Huu ni Muswada wa marekebisho ya pili ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 ya Sheria z...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904762
item