UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA: SIMBA YALIPISHWA FAINI

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanj...

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanja wa Taifa siku kadhaa zilizopita, aidha Mbeya City nao nao wamepata adhabu hiyo kwa kutakiwa kulipa faini ya sh 1 mil kwa mashabiki kufanya vurugu.

Related

SAKATA LA KOROSHO LIWALE, NYUMBA 20 ZATEKETEZWA

 Takriban nyumba 20 zimeteketezwa katika maandamano yaliyofanywa na wakulima wa Korosho pamoja na waandamanaji wengine Kusini mwa Tanzania. Hii ni kwa mujibu wa mbunge mmoja wa eneo hilo.Mb...

WANAWAKE KWENYE MIEREKA TUPO, HII NI KUTOKA SENEGAL

Nchini Senegal, miereka ya kitamaduni inapendwa zaidi kuliko soka huku wachezaji wakijipatia pesa nyingi na hata kuwa watu maarufu. Katika sehemu nyingi za nchi mchezo huu ni wa wanaume pekee la...

MBUNGE AMWONYA RAIS KUTOIPIGIA DEBE CCM

Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) amemtahadharisha Rais Jakaya Kikwete asiitumie ziara yake ya Mkoa wa Mbeya kukipigia debe Chama Cha Mapinduzi(CCM) bali afanye kazi za kiserikali. ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item