UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA: SIMBA YALIPISHWA FAINI

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanj...

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanja wa Taifa siku kadhaa zilizopita, aidha Mbeya City nao nao wamepata adhabu hiyo kwa kutakiwa kulipa faini ya sh 1 mil kwa mashabiki kufanya vurugu.

Related

TAARIFA KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU CHA CHADEMA KESHO

Kutokana na maswali kutoka kwa wanahabari wa vyumba mbalimbali vya habari juu ya agenda za kikao cha Kamati Kuu kesho, Chama kimetoa kauli ifuatayo; Ni kweli kutakuwa na mkutano maalum wa Kama...

TAZAMA PICHA ZA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA CCM MBEYA USIKU WA TAREHE 31/12/2013 NA KUSABABISHA MMOJA KUFARIKI HAPO HAPO

 Gari dogo likiwa limeharibika baada ya ajali hiyo  Bodaboda ikiwa imeharibika vibaya  Maiti ya Dereva wa bodaboda ambaye alifariki hapo hapo   Boda boda Mbili ziki...

ASASI ZA KIRAIA ZATANGAZA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

Mitandao ya Asasi za kiraia nchini (Azaki), zimechagua wawakilishi 40 ambao majina yao yatapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete, kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa Bunge Maalum la Katiba linalota...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904759
item