UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA: SIMBA YALIPISHWA FAINI

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanj...

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanja wa Taifa siku kadhaa zilizopita, aidha Mbeya City nao nao wamepata adhabu hiyo kwa kutakiwa kulipa faini ya sh 1 mil kwa mashabiki kufanya vurugu.

Related

RIPOTI YA CAG KUZIGUZA CHADEMA, CCM

Dar es Salaam.  Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake mjini Dodoma na moja ya kazi zake zitakazovuta hisia za wengi ni Ripoti ya Mwaka 2012/13 ya Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali it...

MENEJA WA BARCLAYS MBARONI KWA WIZI WA FEDHA, NI BAADA YA KUPANGA TUKIO LA KIUJAMBAZI NDANI YA BENKI HIYO JIJINI DAR ES SALAAM.

Dar es Salaam.  Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hi...

BASI LA A.M COACH LAPATA AJALI ENEO LA IPULI NA KUSABASHA KIFO CHA MWANAFUNZI MMOJA

 Umati mkubwa wa watu ambao ulifiika kushuhudia ajali hiyo mbaya  Maafisa wa Chama cha Msalaba Mwekundu mkoa wa Tabora walifika eneo la tukio na kusaidia majeruhi wa ajali hiyo. ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904780
item