UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA: SIMBA YALIPISHWA FAINI

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanj...

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanja wa Taifa siku kadhaa zilizopita, aidha Mbeya City nao nao wamepata adhabu hiyo kwa kutakiwa kulipa faini ya sh 1 mil kwa mashabiki kufanya vurugu.

Related

RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UIMARISHAJI WA MIPAKA YA KIMATAIFA MKOANI KAGERA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi alipowasili eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upan...

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME KIJIJINI KWAKE HUKO TONGWE - MUHEZA

 Mama Salma Kikwete akimfarijiMama Mary Mbaga Makame, mke wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza  kwa ajili ya mazishi leo &nbs...

MJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WA CCM AJIUNGA NA UKAWA

 Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ali Mohamed Kessy ambaye pia ni Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM) akiwatangazia waandishi wa habari kuunga mkono muundo wa serikali tatu uwepo katika Katiba Mp...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item