HII NDIO RATIBA KAMILI YA SHUGHULI ZA MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA DKT. WILLIAM MGIMWA KUANZIA JUMAMOSI HADI JUMATATU

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa unatarajiwa kuwasili kesho nchini saa 7 kutokea Afrika Kusini. Kufuatia ratiba ili...

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa unatarajiwa kuwasili kesho nchini saa 7 kutokea Afrika Kusini. Kufuatia ratiba iliyotolewa na ofisi ya Waziri Mkuu, mwili huo utapokelewa uwanja wa ndege MWALIMU NYERERE-TERMINAL II na kupelekwa nyumbani kwake Mikocheni B.

Kuona ratiba kamili ya mazishi bofya hapa

Related

CUF WAMSIMAMISHA UANACHAMA PROFESA LIPUMBA, MAGDALENA SAKAYA NA WENGINE TISA

Taifa la chama cha Civic United Front-CUF,  limemsimamisha uanachama kwa mda, aliyekuwa Mwenyekiti wa chamahicho, Profesa Ibrahim Liupumba kwa madai ya kukisaliti chama. Kadhalilika pamoja n...

VITUO 304 VYA AFYA VINA HALI MBAYA ZAIDI

MATOKEO ya tathmini ya kuvipatia madaraja vituo vya huduma za afya ya msingi, iliyofanyika katika mikoa 20 nchini, yametolewa yakionesha vituo 304 viko katika hali mbaya zaidi. Hali hiyo imesa...

Paul Makonda aomba mkataba wa Machinga Complex kuvunjwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa rai kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene, kuvunja mkataba uliopo katika mradi ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item