MBATIA ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI NCCR MAGEUZI

James Mbatia ameweza kutetea vyema nafasi yake ya Uenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi kwa kupata kura 201 kati ya 227 na  kumpiku mpinzan...

James Mbatia ameweza kutetea vyema nafasi yake ya Uenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi kwa kupata kura 201 kati ya 227 na  kumpiku mpinzani wake Makofila aliyepata kura 26 kwenye uchaguzi uliofanyika leo. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imechukuliwa na Leticia Ghati (Bara), Haji Khamis (Zanzibar),  wakati huohuo nafasi za makatibu bado zikiwa wazi na uchaguzi utaendelea kesho kwa nafasi zilizobaki.

Related

VIGOGO SITA CCM WAITWA KAMATI YA MAADILI

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya Kamati ya Ndogo...

MAHAKAMA YAAMURU JENGO KARIBU NA IKULU LIVUNJWE

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na Msanifu Mkuu, Richard Maliyaga, kila mmoja kulipa faini ya Sh15 milioni au...

BRAZILIAN AMBASSADOR TO TANZANIA INTERVIEWED BY MOblog

On Wednesday last week, MOblog hosted an exclusive Q and A interview with the Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon. Francisco Luz, ahead of the upcoming World Cup Tournament. Read On;   &nb...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item