MBATIA ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI NCCR MAGEUZI

James Mbatia ameweza kutetea vyema nafasi yake ya Uenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi kwa kupata kura 201 kati ya 227 na  kumpiku mpinzan...

James Mbatia ameweza kutetea vyema nafasi yake ya Uenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi kwa kupata kura 201 kati ya 227 na  kumpiku mpinzani wake Makofila aliyepata kura 26 kwenye uchaguzi uliofanyika leo. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imechukuliwa na Leticia Ghati (Bara), Haji Khamis (Zanzibar),  wakati huohuo nafasi za makatibu bado zikiwa wazi na uchaguzi utaendelea kesho kwa nafasi zilizobaki.

Related

RAIS GOODLUCK JONATHAN WA NIGERIA AAHIDI WASICHANA WALIOTEKWA NYARA KUWA WATAPATIKANA

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan, amezungumza wazi kwa mara ya kwanza kuhusu kutekwa kwa waschana takriban 200 wa shule kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Katika taarifa yake ya kwanza ha...

RIPOTI YA CAG KUZIGUZA CHADEMA, CCM

Dar es Salaam.  Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake mjini Dodoma na moja ya kazi zake zitakazovuta hisia za wengi ni Ripoti ya Mwaka 2012/13 ya Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali it...

MENEJA WA BARCLAYS MBARONI KWA WIZI WA FEDHA, NI BAADA YA KUPANGA TUKIO LA KIUJAMBAZI NDANI YA BENKI HIYO JIJINI DAR ES SALAAM.

Dar es Salaam.  Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hi...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item