MBATIA ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI NCCR MAGEUZI

James Mbatia ameweza kutetea vyema nafasi yake ya Uenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi kwa kupata kura 201 kati ya 227 na  kumpiku mpinzan...

James Mbatia ameweza kutetea vyema nafasi yake ya Uenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi kwa kupata kura 201 kati ya 227 na  kumpiku mpinzani wake Makofila aliyepata kura 26 kwenye uchaguzi uliofanyika leo. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti imechukuliwa na Leticia Ghati (Bara), Haji Khamis (Zanzibar),  wakati huohuo nafasi za makatibu bado zikiwa wazi na uchaguzi utaendelea kesho kwa nafasi zilizobaki.

Related

BOTI YA KILIMANJARO MALI YA AZAM MARINE YAPATA AJALI IKITOKEA PEMBA, MAITI 5 ZAPATIKANA

Boti ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro  ikitokea Pemba asubuhi ya leo ikiwa na abiria karibu 320 imepata misukosuko ya hali ya upepo na mawimbi na kusababisha baadhi ya abiria wali...

MOTO ULIVYOITEKETEZA JANCO MOTEL ILIYOPO MBEYA JANA USIKU

Jana usiku moto mkubwa ulizuka katika hotel ya Janco iliyopo eneo la Forest Mpya na kuteketeza baadhi ya vitu, chanzo cha moto huo hakijafahamika hadi sasa. Idadi ya vifo na ma...

MFANYABIASHARA WA KIKE APIGWA RISASI USONI NA KUPORWA MABEGI MAWILI YA FEDHA KARIAKOO.

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA Mwili wa mfanyabiashara huyo ukiwa kwenye gari mara baada ya kupigwa risasi na majambazi (majira ya saa 12 Kasoro jana jioni) Damu ya Mfanyabiashara huyo ikiwa im...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904763
item