ALICHOANDIKA JOYCE KIRIA KWA FACEBOOK PAGE YAKE BAADA YA BAADHI YA WASANII WA BONGO MOVIE KUJIUNGA NA CCM

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce ...

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce Kiria akaamua kuandika maoni yake kuhusu tukio hilo la wasanii kujiunga na CCM na kuweka kwenye ukurasa wake wa Facebook kama inavyoonekana hapo chini. Swali, Je kuna ubaya wa wasanii kujiunga na chama chochote wanachokipenda, maoni yako kimya kimya rohoni.


Related

MICHELLE OBAMA VISITS CHINA

 Chinese President Xi Jinping and his wife, Peng Liyuan, greet U.S. first lady Michelle Obama with her daughters, Malia, right, and Sasha, at the Diaoyutai State guest house in Beijing. ...

HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA MMBUNGE WA NZEGA , HAMISI KIGWANGALLA BAADA YA KUKOSWAKOSWA NA RISASI ZA POLISI

kupitia ukurasa wake wa Facebook Hamisi kaandika "Nimenusurika kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia na bahati yako nimekukosa, nililenga kichwa....kijana mmoja alik...

RAIS KIKWETE AZIFUNGUA BARABARA ZA MKATA – HANDENI NA KOROGWE – HANDENI MKOANI TANGA

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (mwenye koti jeusi katikati) akiwa na baadhi ya Mawaziri, Wabunge na Viongozi wa mkoa wa Tanga wakishiriki kuifungua rasmi barabara ya Handeni – Mkata na Hand...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item