ALICHOANDIKA JOYCE KIRIA KWA FACEBOOK PAGE YAKE BAADA YA BAADHI YA WASANII WA BONGO MOVIE KUJIUNGA NA CCM

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce ...

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce Kiria akaamua kuandika maoni yake kuhusu tukio hilo la wasanii kujiunga na CCM na kuweka kwenye ukurasa wake wa Facebook kama inavyoonekana hapo chini. Swali, Je kuna ubaya wa wasanii kujiunga na chama chochote wanachokipenda, maoni yako kimya kimya rohoni.


Related

NEC KUTANGAZA TAREHE YA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA

JULIUS MALABA - MKURUGENZI WA UCHAGUZI Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema wiki hii itatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kalenga, lililopo wazi baada ya ...

USIKU WA WASANII NA WANAHABARI WAFANA, TAZAMA PICHA ZA TUKIO HILO

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wageni waalikwa kwenye sherehe za Usiku wa Wasanii na Waandishi wa Habari zilizofanyika usiku wa tarehe 2 Februari kwenye ukumbi ...

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE APOKEA HUNDI YA SHILINGI MILIONI 100 ILIYOTOLEWA NA BENKI YA CRDB KUSAIDIA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO MKOANI MOROGORO

   Rais Dkt  Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hundi ya Shilingi Milioni 100 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, kusaidia waathirika  wa mafuriko...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904762
item