ALICHOANDIKA JOYCE KIRIA KWA FACEBOOK PAGE YAKE BAADA YA BAADHI YA WASANII WA BONGO MOVIE KUJIUNGA NA CCM

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce ...

 Hawa ni baadhi ya  wasanii walioshiriki sherehe za miaka 37 CCM mkoani mbeya jana, na kuamua kujiunga na chama tawala cha CCM. Bi Joyce Kiria akaamua kuandika maoni yake kuhusu tukio hilo la wasanii kujiunga na CCM na kuweka kwenye ukurasa wake wa Facebook kama inavyoonekana hapo chini. Swali, Je kuna ubaya wa wasanii kujiunga na chama chochote wanachokipenda, maoni yako kimya kimya rohoni.


Related

MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA HII NI NAMNA YA KITAALAM YA KUJUA ENEO UNALONUNUA KAMA LINA MGOGORO AU HAPANA

  Na   Bashir   Yakub Makala zilizopita  nilieleza   mambo au taarifa muhimu  zinazopaswa kuwa kwenye  mkataba wako  unapokuwa unanunua  nyumba/k...

JAJI MUTUNGI AVIONYA VYAMA VYA SIASA VINAVYOENDEKEZA MIGOGORO

 Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi. Hivi Karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la Migogoro ndani ya vyama vya Siasa. Jambo hili linaleta Taswira mbaya kwa jamii, hasa kipindi h...

MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA YARUHUSIWA KENYA

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU   WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904766
item