MBEYA CITY YAAMBULIA PATUPU KWA YANGA, YAFUNGWA 1 - 0

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo ul...

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Yanga limewekwa kimiani na Mrisho Ngassa katika dakika ya 16 ya mchezo.

Wakati huohuo timu ya Azam nayo imeifunga Kagera Sugar mabao 4 - 0 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Azam Complex.

Related

CCM YATOA ONYO KALI KWA WANAOJITANGAZA KUWANIA URAIS KABLA YA WAKATI

TAARIFA RASMI YA CCM Kati ya tarehe 13/02/2014  na tarehe 18/02/2014 kumekuwa na mfululizo wa vikao kadhaa vya Chama kitaifa vilivyoshughulikia suala la maadili ndani ya Chama.Vikao hiv...

CHADEMA WATOA SIKU TATU KWA RAIS KIKWETE

  Benson Kigaila akiongea na wanahabari Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kufuta kauli yake ya kuwataka wana CCM kuacha unyonge na kujibu mapigo dhidi ya upinzani na ametakiwa kuomba radhi nd...

BUNGE LA KATIBA VIPANDE VIPANDE

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakijiandikisha bungeni mjini Dodoma, ikiwa ni maandalizi ya kuanza kwa vikao vya bunge hilo. Picha na Silvan Kiwale  Dodoma. Bunge Maal...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item