MBEYA CITY YAAMBULIA PATUPU KWA YANGA, YAFUNGWA 1 - 0

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo ul...

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Yanga limewekwa kimiani na Mrisho Ngassa katika dakika ya 16 ya mchezo.

Wakati huohuo timu ya Azam nayo imeifunga Kagera Sugar mabao 4 - 0 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Azam Complex.

Related

RAIS MSTAAFU WA MAREKANI GEORGE W. BUSH NA MKEWE LAURA KUKUTANA NA RAIS BARACK OBAMA KESHO

RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura wanatarajiwa kesho kuwa nchini kuhutubia kongamano linalojadili wajibu wa wake wa marais katika kuinua wanawake duniani.Kuwasili kwa Bush, ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904762
item