MBEYA CITY YAAMBULIA PATUPU KWA YANGA, YAFUNGWA 1 - 0

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo ul...

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Yanga limewekwa kimiani na Mrisho Ngassa katika dakika ya 16 ya mchezo.

Wakati huohuo timu ya Azam nayo imeifunga Kagera Sugar mabao 4 - 0 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Azam Complex.

Related

CHADEMA YASHINDA KATA ZOTE NNE ARUSHA

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia dosari baada ya shambulio la bomu lililorushwa katika uw...

UCHAGUZI ARUSHA

Habari zilizotufikia kutoka Arusha zinasema, chama cha CHADEMA kinaongoza katika kata zot nne katika matokeo ya awali, matokeo kamili yatakufikia baadaye.

REDBRIGADE NI UASI SI SAWA NA GREEN GUARD YA UVCCM

KATIBU MKUU WA UVCCM, MARTINE SHIGFELLA AMZEZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI NA KELEZA MAMBO MATATU MUHIMU LIKIWEMO HATUA YA CHADEMA KUTAKA KUANZISHA MGAMBO KINYUME CHA SHERI. SASA FUATILIA M...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item