MBEYA CITY YAAMBULIA PATUPU KWA YANGA, YAFUNGWA 1 - 0
TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo ul...
Wakati huohuo timu ya Azam nayo imeifunga Kagera Sugar mabao 4 - 0 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Azam Complex.