ASKARI POLISI 5 WAFARIKI DUNIA DODOMA, SOMA MAJINA YAO HAPA

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe y...

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe ya polisi iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mipango.

Gari hiyo iliyokuwa imebeba polisi na ilikuwa inaelekea kongwa imegongana na basi ya Mohamed Trans eneo la Mtumba nje kidogo ya mji wa Dodoma. Waliofariki katika ajali hiyo ni Adolf Silla, Deogratius Mahinyila, Evarist Bukombe, Jackline Tesha na Jema Luvinga, chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa basi RPC Misime amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Related

NEC YATANGAZA UCHAGUZI KWA KATA 27

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kata 27 nchini ambazo zipo wazi kutokana na madiwani wake kufariki dunia na wengine kupoteza sifa, uchaguzi wake utafanyika Februari 9 mwakani.Akizungumz...

Press Release From Ethopian Airline Regarding Ethiopian Airlines Flight ET-815 of 18 December 2013 - Update 1 - 19 December, 2013

Ethiopian Airlines would like to refute all unfounded speculations regarding the incident of Ethiopian flight ET-815 from Addis Ababa to Kilimanjaro of 18 December 2013. Such unfounded speculati...

Egypt sends Mohamed Morsi to trial for international conspiracy

Cairo: Egypt's public prosecutor charged former President Mohamed Morsi and 35 other top Islamists on Wednesday with conspiring with foreign groups to commit terrorist acts in Egypt, in a case...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904762
item