ASKARI POLISI 5 WAFARIKI DUNIA DODOMA, SOMA MAJINA YAO HAPA

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe y...

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe ya polisi iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mipango.

Gari hiyo iliyokuwa imebeba polisi na ilikuwa inaelekea kongwa imegongana na basi ya Mohamed Trans eneo la Mtumba nje kidogo ya mji wa Dodoma. Waliofariki katika ajali hiyo ni Adolf Silla, Deogratius Mahinyila, Evarist Bukombe, Jackline Tesha na Jema Luvinga, chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa basi RPC Misime amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Related

MBOWE AFICHUA MAZITO YA MLIPUKO WA BOMU LA ARUSHA

ASEMA SMG, BASTOLA ZILITUMIKA ARUSHAMWENYEKITI wa CHADEMA Freeman Mbowe, amevituhumu vyombo vya dola kuwa vinawafahamu watu walioshiriki kwenye mlipuko wa bomu uliotokea juzi katika viwanja vya Sow...

KONGAMANO LA UIMBAJI KWA VIJANA KUTOKA MAJIMBO MBALIMBALI YA KKKT DAR ES SALAAM LILIOFANYIKA TAREHE 15/06/2013 USHARIKA KWA KIJITONYAMA

Kongamano hili lilijumuisha kwaya 18 ambazo ni: KIPUNGUNI B KIBANGU CHARAMBE KIMANGA  YOMBO DOVYA MBEZI BEACH KEKO YOMBO VITUKA WAZO HILL MWENGE MAVURUNZA MTAA WA NEEMA MAGOMENI ...

UTOAJI WA TUZO ZA BONGO MOVIE 2012-2013 KATIKA PICHA

WAZIRI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MAKAME MBAWALA AKIFUNGUA TUZO HIZO JACOB STEEVEN, JB - MSANII BORA WA KIUME MZEE MAJUTO - MSANII BORA WA UCHEKESHAJI STEVE NYERERE ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904766
item