ASKARI POLISI 5 WAFARIKI DUNIA DODOMA, SOMA MAJINA YAO HAPA

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe y...

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe ya polisi iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mipango.

Gari hiyo iliyokuwa imebeba polisi na ilikuwa inaelekea kongwa imegongana na basi ya Mohamed Trans eneo la Mtumba nje kidogo ya mji wa Dodoma. Waliofariki katika ajali hiyo ni Adolf Silla, Deogratius Mahinyila, Evarist Bukombe, Jackline Tesha na Jema Luvinga, chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa basi RPC Misime amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Related

RAIS WA MPITO WA JAMHURI YA KATI AJIUZURU

MICHEL DJOTODIA Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolewa kwa mwendo wake wa kujikokota katika kusuluhisha mgogoro ...

ZITTO ATENGWA NA CHADEMA

Mkurugenzi wa Mawasiliano Habari na Uenezi, CHADEMA, John Mnyika Baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kukubali pingamizi la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kuizuia Kamati Kuu (C...

BOHARI LA DAWA LATEKETEA KWA MOTO

Bohari la dawa za binadamu lililopo eneo la vingunguti jirani na kituo cha mafuta cha Victoria limewaka moto jioni ya leo. Zimamoto na askari polisi wamekuwepo eneo la tukio kukabiliana na m...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item