ASKARI POLISI 5 WAFARIKI DUNIA DODOMA, SOMA MAJINA YAO HAPA

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe y...

Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea Jana usiku majira ya saa nane ambapo gari ya ya polisi iliyokuwa inatoka Dodoma kwenye sherehe ya polisi iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mipango.

Gari hiyo iliyokuwa imebeba polisi na ilikuwa inaelekea kongwa imegongana na basi ya Mohamed Trans eneo la Mtumba nje kidogo ya mji wa Dodoma. Waliofariki katika ajali hiyo ni Adolf Silla, Deogratius Mahinyila, Evarist Bukombe, Jackline Tesha na Jema Luvinga, chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa basi RPC Misime amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Related

WAREMBO MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI

 Warembo 30 wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 jana walitembelea hifadhi ya taifa ya Mikumi mkoani Morogoro kujionea vivutio mbalimbali vya utalii viliovyopo katika hifadhi hi...

TANZANIA KUUNGANA NA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA HIFADHI YA TABAKA LA OZONI.

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mhe. Mhandisi Dkt. Binilith Mahenge akiongea na waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni lin...

CHADEMA YAPATA VIONGOZI WA KAMATI YA UTENDAJI, MNYIKA ASHIKA NAFASI ILIYOKUWA YA ZITO KABWE

   Kutoka kushoto ni Naibu Mkuu zanzibar Mh Salum Mwalimu Juma, Katikati ni Naibu katibu Mkuu Bara Mh John Mnyika na Kulia ni Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.  Katibu Mkuu Dr Wilb...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item