MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN TUPPA MKOANI MOROGORO

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika ...

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29, 2014
Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29, 2014


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi hayo

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29, 2014
 Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi hayo
 Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimpa pole mjane wa marehemu
 Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji  Mzee Gabriel Tupa baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimfariji  Mzee Gabriel Tupa baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa  katika mazishi yaliyofanyika nyumbanikwa marehemu  Kilosa achi 29, 2014. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Related

CHADEMA YAPATA VIONGOZI WA KAMATI YA UTENDAJI, MNYIKA ASHIKA NAFASI ILIYOKUWA YA ZITO KABWE

   Kutoka kushoto ni Naibu Mkuu zanzibar Mh Salum Mwalimu Juma, Katikati ni Naibu katibu Mkuu Bara Mh John Mnyika na Kulia ni Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.  Katibu Mkuu Dr Wilb...

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA KUFANYIKA DESEMBA 14

Imeandikwa na SIFA lubasi, Dodoma KIPENGA cha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, kinatarajiwa kupulizwa Novemba 30 mwaka huu na uchaguzi kufanyika Desemba 14 chini ya sheria zilizopo. ...

OSCAR HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya Akitoa uamuzi wake jaji Thokozile Masipaal alisema kuwa mwanariadha ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item