MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN TUPPA MKOANI MOROGORO

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika ...

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29, 2014
Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29, 2014


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi hayo

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29, 2014
 Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi hayo
 Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimpa pole mjane wa marehemu
 Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji  Mzee Gabriel Tupa baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimfariji  Mzee Gabriel Tupa baba mzazi wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa  katika mazishi yaliyofanyika nyumbanikwa marehemu  Kilosa achi 29, 2014. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Related

LORI LA MAFUTA LAPINDUKA NA KUWAKA MOTO, LAUA WANNE MLIMA SEKENKE

 Baadhi ya Wananchi waliofika katika ajali hiyo wakiangalia mabaki ya Lori hilo baada ya kupata ajali na kuwaka moto leojioni likiwa katika safari zake za kusafirisha Mafuta nje ya Dar-es-S...

CCM YATOA ONYO KALI KWA WANAOJITANGAZA KUWANIA URAIS KABLA YA WAKATI

TAARIFA RASMI YA CCM Kati ya tarehe 13/02/2014  na tarehe 18/02/2014 kumekuwa na mfululizo wa vikao kadhaa vya Chama kitaifa vilivyoshughulikia suala la maadili ndani ya Chama.Vikao hiv...

CHADEMA WATOA SIKU TATU KWA RAIS KIKWETE

  Benson Kigaila akiongea na wanahabari Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kufuta kauli yake ya kuwataka wana CCM kuacha unyonge na kujibu mapigo dhidi ya upinzani na ametakiwa kuomba radhi nd...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item