NEWS UPDATE!! MKUU WA MKOA WA MARA AFARIKI DUNIA

 Marehemu John Tuppa Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. John Tuppa amefariki dunia muda mfupi uliopita baada ya kufikishwa hospitali asubuhi y...

 Marehemu John Tuppa

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. John Tuppa amefariki dunia muda mfupi uliopita baada ya kufikishwa hospitali asubuhi ya leo baada ya kuanguka ofisini kwa DC huko Tarime. Mkuu huyo wa Mkoa alikuwa kwenye dhiara ya kikazi wilayani Tarime, tunawapa pole familia ya John Tuppa.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE.

Related

TAARIFA KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU CHA CHADEMA KESHO

Kutokana na maswali kutoka kwa wanahabari wa vyumba mbalimbali vya habari juu ya agenda za kikao cha Kamati Kuu kesho, Chama kimetoa kauli ifuatayo; Ni kweli kutakuwa na mkutano maalum wa Kama...

TAZAMA PICHA ZA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA CCM MBEYA USIKU WA TAREHE 31/12/2013 NA KUSABABISHA MMOJA KUFARIKI HAPO HAPO

 Gari dogo likiwa limeharibika baada ya ajali hiyo  Bodaboda ikiwa imeharibika vibaya  Maiti ya Dereva wa bodaboda ambaye alifariki hapo hapo   Boda boda Mbili ziki...

ASASI ZA KIRAIA ZATANGAZA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

Mitandao ya Asasi za kiraia nchini (Azaki), zimechagua wawakilishi 40 ambao majina yao yatapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete, kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa Bunge Maalum la Katiba linalota...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item