HUYU HAPA NDIYE MSHINDI WA SHINDANO LA BIBI BOMBA KWA MWAKA 2014

  Bi Rusi akikabidhiwa zawadi yake. Mashindano ya kumtafuta Bibi bomba mwaka 2014 yalifanyika Mikocheni katika ukumbi wa Saadani P...

 Bi Rusi akikabidhiwa zawadi yake.

Mashindano ya kumtafuta Bibi bomba mwaka 2014 yalifanyika Mikocheni katika ukumbi wa Saadani Parking national hotel jijini Dar es salaam , mgeni rasmi alikuwa Bi.Anna Kilango. Aliyefanikiwa kuibuka mshindi usiku huo ni Bi Rusi Manfred ambaye alijipatia zawadi ya shilingi milioni kumi za kitanzania na kiwanja chenye thamani ya shilingi Milioni tano.


 Mashabiki wakimshangilia Mshindi
 Bi Rusi akiwa ameshikiria Hati ya kiwanja kama
moja ya zawadi yake.
 
Mkurugenzi wa Tanzania Women's Bank (TWB) Bi Margareth Chacha  akitoa pongezi zake. 

Related

AKAMATWA NA UNGA UWANJA WA JNIA

Jeshi la polisi mchana wa leo limemkamata mwanamke raia wa Nigeria katika uwanja wa JNIA akiwa na kete 96 za dawa za kulevya akielekea Ufaransa.

RAIS ZUMA AKANUSHA KURUHUSIWA KWA MANDELA KUTOKA HOSPITALI

Ofisi ya Rais nchini Afrika Kusini imesisitiza kuwa Mandela bado yupo hospitali na kukanusha habari zilizozagaa kwenye vyombo vya habari kuwa ameruhusiwa.

MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIAI INSPEKTA JENERALI SAIDI MWEMA AIBIWA UPANGA WENYE THAMANI YA SH600 MILIONI JIJINI DAR ES SALAAM.

JESHI la Polisi limeingia katika kashfa nzito baada ya mkuu wake, Inspekta Jenerali Said Mwema, kuibiwa upanga wa dhahabu ambao ni mali ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa nchi za K...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904812
item