MHE.SITTA AZUNGUMZA NA WAKULIMA WA PAMBA

  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akizungumza na baadhi  viongozi na wajumbe kutoka Chama cha Wakulima Wado...


 Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akizungumza na baadhi  viongozi na wajumbe kutoka Chama cha Wakulima Wadodowadogo wa zao la Pamba Tanzania(TACOGA) katika ukumbi wa mikutano wa Bunge wa Pius Msekwa leo wakati walipomtembelea ofisini kwake mjini Dodoma  kwa lengo la  kuwasilisha Azimio la wito wa kuomba Bunge Maalum la Katiba  kukamilisha jukumu la kuandaa rasimu yenye kuzingatia haki ardhi kwa mahitaji ya wakulima  Tanzania.

 Kaimu Mwenyekiti wa kutoka Chama cha Wakulima Wadodowadogo wa zao la Pamba Tanzania(TACOGA), Godfrey  Mokiri(katikati) akizungumza  na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta(kulia)  katika ukumbi wa mikutano wa Bunge wa Pius Msekwa leo wakati  baadhi  viongozi na wajumbe wa chama hicho  walipomtembelea ofisini kwake mjini Dodoma  kwa lengo la  kuwasilisha Azimio la wito wa kuomba Bunge Maalum la Katiba  kukamilisha jukumu la kuandaa rasimu yenye kuzingatia haki ardhi kwa ardhi kwa mahitaji ya wakulima  Tanzania.Kushoto ni Katibu wa chama hicho, George Mpanduji.

Baadhi  viongozi na wajumbe wa  Chama cha Wakulima Wadodowadogo wa zao la Pamba Tanzania(TACOGA) wakiwa katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta (wanne kushoto) na Katibu wa Bunge hilo, Yahaya Khamis Hamad (wa tatu kulia )walipomtembelea ofisini kwake mjini Dodoma leo kwa lengo la  kuwasilisha Azimio la wito wa kuomba Bunge Maalum la Katiba  kukamilisha jukumu la kuandaa rasimu yenye kuzingatia haki ardhi kwa mahitaji ya wakulima  Tanzania.

Related

HASIRA MBAYA JAMANI, BABA AMRUSHA BINTI YAKE KUTOKA GOROFA YA TATU SOMA HAPA

 LAGOS An angry father, Deji Kamoru, is currently in trouble for throwing his 14-year old daughter, Aishat, from their three-storey building home after he caught her with her boyfriend in ...

TO ALL LADIES .........READ A MSG FROM STEPHANIA OKERERE

Stephania Okerere is the Nollywood actress and happly  married lady, she have shared an encouraging msg to all ladies that we should not forget to build ourselves up, fulfill our dreams and ca...

Oscar Winning Actor Philip Seymour Hoffman dies at 46

Sad news has shocked Hollywood and movie lovers worldwide. Oscar winner Philip Seymour Hoffman has passed away at age 46. The talented actor died of a suspected heroin overdose and was found by...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904763
item