NAIBU WAZIRI WA NISAHATI NA MADINI AKUTANA NA MAMENEJA WA TANESCO,MKOA LINDI, MTWARA, PWANI NA DAR ES SALAAM

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (katikati) akiwa katika kikao kilichojumuisha watendaji wa TANESCO, REA, na wak...


 Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (katikati) akiwa katika kikao kilichojumuisha watendaji wa TANESCO, REA, na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Kulia kwa Waziri ni, Mhandisi Nishati Mwandamizi, kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Salum Inegeja na kushoto ni Mhandisi Thomas Visi, Meneja wa kampuni ya Naomis Corporate Ltd inayotekeleza miradi ya usambazaji umeme vijijini katika mkoa wa Mtwara. 

  Mhandisi Mkuu Usambazaji Umeme katika mikoa ya Dar es Salaam, Benedict Lyaruu (wa kwanza kulia), Kaimu Meneja wa TANESCO, mkoa wa Pwani, Eng. Rehema Mashinji (katikati) na Mhandisi Miradi ya Umeme katika mkoa wa Pwani, Leo Mwakatobe (kushoto) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (haonekani pichani) wakati wa kikao chake na watendaji wa TANESCO, REA, na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini katika miko ya Lindi na Mtwara. 

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (mbele, katikati) akiwa katika kikao kilichojumuisha watendaji wa TANESCO, REA, na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Kulia kwa Waziri ni, Mhandisi Nishati Mwandamizi, kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Salum Inegeja (kulia) na kushoto ni Mhandisi Thomas Visi, Meneja wa kampuni ya Naomis Corporate Ltd inayotekeleza miradi ya usambazaji umeme katika mkoa wa Mtwara.

 Mhandisi Miradi ya Umeme katika mkoa wa Pwani, Leo Mwakatobe (aliyesimama) akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme katika mkoa wa Pwani mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (haonekani katika picha). Wa kwanza kulia mstari wa mbele, ni Meneja Mwandamizi wa TANESCO, Kanda ya Dar es salaam na Pwani inayojumuisha mikoa ya Lindi na Mtwara, Mhandisi Mahende Mugaya na wengine ni watendaji wa TANESCO na Wizara ya Nishati na Madini. 

 Meneja wa TANESCO mkoa wa Lindi, Mhandisi John Bandiye akitoa taarifa ya miradi ya usambazaji umeme vijijini katika mkoa wa Lindi, mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (haonekani katika picha).Wengine katika picha ni watendaji wa TANESCO kutoka mikoa ya Dar es Salaam, Mtwara na Pwani.

Related

NEC YATANGAZA UCHAGUZI KWA KATA 27

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kata 27 nchini ambazo zipo wazi kutokana na madiwani wake kufariki dunia na wengine kupoteza sifa, uchaguzi wake utafanyika Februari 9 mwakani.Akizungumz...

Press Release From Ethopian Airline Regarding Ethiopian Airlines Flight ET-815 of 18 December 2013 - Update 1 - 19 December, 2013

Ethiopian Airlines would like to refute all unfounded speculations regarding the incident of Ethiopian flight ET-815 from Addis Ababa to Kilimanjaro of 18 December 2013. Such unfounded speculati...

Egypt sends Mohamed Morsi to trial for international conspiracy

Cairo: Egypt's public prosecutor charged former President Mohamed Morsi and 35 other top Islamists on Wednesday with conspiring with foreign groups to commit terrorist acts in Egypt, in a case...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904812
item