MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO

Moja ya jengo la Hostel za Mabibo likiwa limeshika moto asubuhi hii. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na msaada wa haraka unah...

Moja ya jengo la Hostel za Mabibo likiwa limeshika moto asubuhi hii. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na msaada wa haraka unahitajia ili kuokoa mali zilizopo kwenye Jengo hilo.


Baadhi ya Wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye Jengo hilo wakiwa nje,huku wakiwa hawajui la kufanya wakati moto huo ukiendelea kuwaka.

Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) wanaoishi kwenye Hostel za Mabibo,wakiangalia moja ya majengo ya Hostel hizo likiwa limeshika moto asubuhi hii. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na msaada wa haraka unahitajia ili kuokoa mali zilizopo kwenye Jengo hilo.


Source: Mtizamohuru

Related

UTEKAJI MALORI WASABABISHA MAELFU KUKWAMA NZEGA

Baadhi ya abiria na madereva wakiwa katika mgomo wa kuondoa magari katika kijiji cha Ngonho kata ya Miguwa baada ya magari matatu kutekwa na madereva wake kujeruhiwa vibaya kabla ya kupelekwa ka...

96 WAMALIZA MAFUNZO KUPAMBANA NA MAJANGILI

Askari wa hifadhi ya  mbuga ya wanyama (TANAPA) wakiwa wamekaa wakimsikiliza mkurugenzi mkuu wa TANAPA ALLAN KIJAZI ambaye hayuko pichani wakati akifunga mafunzo ya askari hao waliohitimu ma...

MAMA ALIYEJIFUNGUA WATOTO WA NNE ARUDISHWA NYUMBANI KWAO, TAZAMA PICHA ZA SAFARI INAVYOSONGA

 Mama wa watoto wa Nne wa tatu kutoka kushoto akiwa pamoja na wauguzi ambao wamebeba watoto wakimuaga katika Hospitali ya Meta Jijini Mbeya mapema asubuhi ya leo.  Baadhi ya Mizigo...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904815
item