MTANZANIA JACK CLIFF AKAMATWA NA MADAWWA YA KULEVYA HUKO MACAU
Jackie akiwa amewekwa mbele ya waandishi wa habari na mzigo wake wote aliokuwa ameumeza..... Waandishi wa habari wakifanya yao ...
![]() |
Jackie akiwa amewekwa mbele ya waandishi wa habari na mzigo wake wote aliokuwa ameumeza..... |
![]() |
Waandishi wa habari wakifanya yao |
![]() |
Madawa aliyokuwa amemeza Jack |
![]() |
Jack Cliff aliyekamatwa na madawa ya kulevya |
Mtanzania huyo ni msichana ana jumla ya umri wa miaka 28 aitwae Jackie Clief alikamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya Heroin huko Macao nchini China.
Dawa hizo zimekutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na wana usalama kisha kufanyiwa X-ray ambapo baada ya kufanyiwa X-ray alikutwa na jumla ya vidonge 66 vikiwa na thamani ya dola za kimarekani 137,72.
Source: Masai