MBUNGE WA CHALINZE SAIDI RAMADHANI BWAMDOGO AFARIKI DUNIA

Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungana wa Tanzania Mh. Anne S. Makinda (Mb),  anasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Mbunge wa jimbo la Ch...

Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungana wa Tanzania Mh. Anne S. Makinda (Mb),  anasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Saidi Ramadhani Bwamdogo kilichotokea leo jumatano asubuhi tarehe 22/01/2014 katika hospitali ya MOI DSM alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi kwa kushirikiana na familia ya marehemu.
SPIKA WA BUNGE,
22-01-2014

Related

TAMKO LA UMOJA WA WANAZUONI KUHUSU TUKIO LA SHEIKH PONDA

Sheikh Suleiman Amran Kilemile TAMKO LA UMOJA WA WANAZUONI WA KIISLAMU TANZANIA KUHUSU TUKIO LA SHEIKH PONDA Sisi, Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania (Hay – atul Ulamaa), tumepoke...

SHEIKH PONDA AWEKWA CHINI YA ULINZI MUHIMBILI

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa amelazwa kwenye chumba maalumu katika taasisi ya mifupa Muhimbili (MOI), muda mfupi baada ya kufikishwa hospitalin...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904819
item