AJALI KIBAIGWA

  Gari aina ya RAV4 ikiwa chali baada ya Kupata ajali mbaya Maeneo ya Kibaigwa ukiwa uanelekea Mkoani Dodoma   Mh:Mwigulu Nchemba ak...

 Gari aina ya RAV4 ikiwa chali baada ya Kupata ajali mbaya Maeneo ya Kibaigwa ukiwa uanelekea Mkoani Dodoma
 Mh:Mwigulu Nchemba akisaidia kuokoa Majeruhi kwa Kuinua gari.

 Gari aina ya RAV4 ikiwa imeshainuliwa tayari na Majeruhi wametoka walikuwa wawili

Huyu ndiye alikuwa Dreva wa gari hii iliyopata ajali,amepata Michubuko kidogo.


Ajali ndogo Imetokea maeneo ya Kibaigwa ikihusisha gari aina ya RAV4 iliyokuwa ikitokea mkoani Morogoro kwenda Dodoma, ajali hiyo mbayo haijasababisha Kifo chochote imetokea majira ya Mchana wa Tar.08/06/2014 na Sababu ya ajali inatajwa kuwa ni Mwendo kasi wa Dreva na hatimaye Gari Kumshinda na kupinduka.
 
Katika hali ya Kuonesha Ubinadamu na Utu kwa watu wengine, Mh:Mwigulu Nchemba aliyekuwa akitoka Dodoma kuelekea Morogoro kwenye Mkutano alilazimika Kusimama kwa Muda kwenye ajali hiyo kwaajili ya Kutoka Huduma ya Kwanza kwa Majeruhi kama anavyoonekana Pichani hapo Juu.Jambo hilo liliwafurahisha sana Wananchi waliokuwa eneo la ajali na waliomba Viongozi wengine waige tabia hii ya Mwigulu Nchemba ya Kushirikiana na Wananchi wakati wa Shida husuasani wanapoona ajali barabarani,Ugonjwa,Misiba n.k wajitahidi kutoa Ushirikiano.
Picha/Maelezo na Sanga Jr

Related

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KINATOA RAI KWA WATANZANIA KULAANI HILA NA NJAMA CHAFU ZINAZOENDESHWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI KATIKA CHAGUZI NDOGO ZA MARUDIOChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA...

KUJERUHIWA KWA MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASARI, APIGWA NA GREEN GUARD

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amepigwa na kujeruhiwa vibaya, damu zinamtoka puani.Amepigwa na vijana wa Kisomali, katika eneo la Zaburi kata ya Makuyuni Jimbo la Monduli.Taarifa za awal...

TAARIFA YA HALI YA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU LA SOWETO, ARUSHA

Mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Dk Josiah Mlay amewamtaja marehemu wa mlipuko uliotokea jana mkutanoni Soweto, Arusha kuwa ni Judith Mushi, (46) mkazi wa Sokoni One, jijini Arusha.M...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item