UDA WAPAKA RANGI KUONYESHA RUTI ZA DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Mafunzo, Utafiti na Maendeleo ya UDA, Henry Bantu. Shirika la Usafiri Dar es Salaam UDA kuanzia jana wameweka stika za...

Mkurugenzi wa Mafunzo, Utafiti na Maendeleo ya UDA, Henry Bantu.

Shirika la Usafiri Dar es Salaam UDA kuanzia jana wameweka stika za rangi kwa pamoja na vibao kwa mbele ambayo vinaonesha, gari linaelekea wapi kwa hapa jijini.
Akizungumza na Taarifa News Mkurugenzi wa Mafunzo, Utafiti na Maendeleo ya UDA, Henry Bantu alisema kuwa zoezi hilo la kuweka stika za rangi litasaidia kuwaonesha abiria mbalimbali mabasi hayo yanaelekea wapi.
Bantu alisema kuwa hapo awali mabasi hayo yalikuwa hayana vibao wa stika ya rangi mbele kwa kuonesha basi linaelekea wapi, lakini kwa sasa hakuna tatizo kila abiria atajua basi hilo linaelekea wapi kwa rangi ambayo ataiona mbele pamoja na vibao.


 Aidha alizitaja rangi hizo kuwa ni jani la mgomba rangi hiyo inawakilisha njia ya Gongo la Mboto, rangi ya dhahabu inawakilisha njia ya Mbagala, nyekundu inawakaisha njia ya Mbezi ya Kimara, papo inawakilisha njia ya Boko na nyeupe inawakilisha njia ya Kariakoo.
Vilevile mwisho wa mwezi huu UDA wataanza kwenda nje ya jiji kama Chalinze, Bagamoyo, Ikwiriri na Msata, lengo ni kutoa huduma kwa Watanzania wote katika mikoa ya karibu.
Kwa sasa kuna basi 255 zipo barabarani zinafanya kazi ya kubeba abiria lakini mpaka ikifika mwisho wa mwaka huu kutakuwa na basi 1000, lakini pia wana karakana za kulaza mabasi hayo zipatazo tano kama, Mbagala, Gongo la Mboto, Kariakoo, Boko na Mbezi ya Kimara.


Related

AJIFUNGUA PACHA WA KIKE WALIOUNGANA SEHEMU YA KIFUA, TUMBO

   MUSOMA. Mwanamke mmoja mkazi wa Kata ya Buhare, Manispaa ya Musoma mkoani Mara, Helena Paulo (20), amejifungua watoto pacha wa kike walioungana eneo la kifuani hadi tumboni wakiw...

VOTE FOR PETER MSECHU - AFRIMA AWARDS 2014

Earlier last month AFRIMA AWARDS 2014 selected me to be one of the nominee in the category BEST ARTIST IN EAST AFRICA this is because of the song NYOTA that you have been one of ...

WATOTO 130000 WANAISHI NA MAAMBUKIZI YA VVU

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Dkt Pindi Chana. Dar Es Salaam TAKWIMU zinaonesha kwamba watoto 130000 wana maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI (VVU) kati ya hao 39317 wamef...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904823

HOT POSTSRECENTArchive

RECENT

Archive

item