JERMAIN DEFOE ATUA SUNDERLAND

 Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Uingereza Jermain Colin Defoe amejiunga na timu ya Sunderland. Defoe mwenye miaka 32 ...


 Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Uingereza Jermain Colin Defoe amejiunga na timu ya Sunderland.

Defoe mwenye miaka 32 aliekua akiichezea timu ya Toronto FC ya nchi Marekani amesaini mkataba wa miaka mitatu na nusu kuweza kuitumikia timu hiyo.

Mshambuliaji huyu mwenye uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu alijiunga na Toronto akitokea klabu ya Tottenham alikocheza kwa mafanikio makubwa .

Alifunga Zaidi ya magoli 120 katika ligi England akiwa anazitumikia timu za West Ham United, Portsmouth and Tottenham Hotspur.

Mshambuliaji Sunderland Jozy Altidore, amepelekwa kwenye timu ya Toronto kama sehemu ya makubaliano ya uhamisho huo.
BBC Swahili.

Related

UZINDUZI WA COKE STUDIO AFRIKA WAFANA

 Kutoka kushoto ni Joh Makini, Shaa, Bukuku (Mc wa shughuli hiyo), Brand Manager wa Coca Cola, Maurice Njowoka na Vanessa Mdee. ‘Coke Studio Africa’ msimu wa pili Vanessa Mdee, Shaa, Joh Ma...

MBOWE AWA MBOGO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameonya kuwa iwapo kiongozi yeyote wa chama h...

MBUNGE WA CCM JIMBO LA MOROGORO KUSINI ATEKELEZA ILANI YA CCM

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris  Akitoa hotuba yake Namna atakavyoshirikiana na Wanachama na Viongoizi wa Jimbo la Morogoro Kusini bega kwa bega ili chama hicho...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904820
item