KINANA AHUTUBIA MKUTANO MKUBWA TANGA

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi ...

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

 Kinana akisalimiana na wananchi wa Tanga, wakati akiingia kwenye mkutano huo wa hadhara kwenye Uwanja wa Tangamano jijini Tanga. Tanga imekuwa ya pili nchini kwa kwa kushinda uchaguzi huo kwa asilimia 97 ambapo ya kwanza ni Mkoa wa Iringa ulioshinda kwa asilimia 98.


 Sehemu ya umati wa wananchi wakisikiliza kwa makini wakati Kinana akihutubia.



 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Kata ya Pongwe, Mbaraka Saad Mbaraka  akipokea kadi ya CCM kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya kutangaza kuihama CUF na kujiunga na CCM pamoja na wanachama wengine 200.

 Kiongozi wa kikundi cha Taarabu cha Jahazi, Mzee Yusufu akifanya mambo alipokuwa akitumbuiza katika mkutano huo wa kushangilia ushindi wa CCM.


 Kikundi cha Jahazi kikishambulia jukwaa na kukonga nyoyo za wapenzi na wafuasi wa CCM



 Aliyekuwa mgombea ubunge Tanga Mjini 2010 kupitia Chadema, Hassan Omary Mbaraka akitangaza kuhamia CCM baada ya kukunwa na hotuba ya Kinana katika mkutano huo.


Kinana akipanda gari tayari kuondoka baada kumalizika kwa mkutano huo
 
 

Related

OTHER NEWS 7926928363894328024

Post a Comment

emo-but-icon

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item