ALEX MSAMA ATANGAZA VITA NA WEZI WA KAZI ZA WASANII, ASEMA WATASAKWA POPOTE WALIPO

M kurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam Bw. Alex Msama akimwaga furushi lililojaa CD na DVD feki za kazi mbaim...

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 01/09/2014

KATIKA TUKIO LA KWANZA: MTU MMOJA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA FUNU A MAGOKO (35) MKAZI WA ITUMBI ALIUAWA KWA KUPIGWA FIMBO SEHEMU ZA KI...

MKUTANO WA VISIWA WAFANYIKA NCHINI SAMOA

  Rais wa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa nchi za Visiwa   Bw.Tuiluepa Sailele Malielegaoi,akitoa hotuba yake katika mkutano huo wenye m...

TANGAZO LA KAZI TANROADS KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA MWISHO WA KUTUMA MAOMBI SEPTEMBA 12, 2014

TANGAZO LA KAZI - TANROADS: 29-08-2014   BONYEZA HAPA 

MFANYABIASHARA AMCHARANGA MAPANGA ALBINO MOROGORO

  Mlemavu wa ngozi Damas Valeniani aliyecharangwa mapanga na mfanyabiashara maarufu mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina moja la Lyimo....

EBOLA YATUA SENEGAL

Uwanja wa ndege sehemu ya ukaguzi Waziri wa Afya wa Senegal amethibitisha kua ugonjwa wa Ebola umekwisha tua nchini mwake na kufanya...

DIAMOND ADAIWA KUOKOLEWA NA POLISI WA UJERUMANI,KUFUATIA MASHABIKI WAKE KUSHIKWA NA HASIRA

  Gari ya Polili ilioibuka kumuokoa Diambond kufuatia sakata la mashabiki wake kupandwa na jazba Sehemu ya ukumbi ulioharibiwa vibay...

Rais Kikwete akutana na wajumbe wa kituo cha Demokrasia ( TCD) Ikulu ndogo Dodoma

  Mwenyekiti wa  Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu...

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

index